SGR

Katiba

SGR

Friday, April 12, 2019

NAIBU WAZIRI UJENZI AFUNGUA BARAZA LA WAFANYAKAZI TEMESA

PIC%2B1
 Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) Mhandisi Japhet Y. Maselle akimkaribisha Naibu Waziri Wizara ya Ujenzi Uchukuzi na Mawasiliano Elias Kwandikwa kushoto alipowasili kufungua kikao cha baraza la wafanyakazi wa wakala huo kilichofanyika katika ukumbi wa Karimjee jijini Dar es Salaam.
PIC%2B2
 Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) Mhandisi Japhet Y. Maselle akizungumza wakati wa kikao cha Baraza la wafanyakazi wa wakala huo kilichofanyika katika ukumbi wa Karimjee jijini Dar es Salaam ambapo mgeni rasmi alikua Naibu Waziri Wizara ya Ujenzi Uchukuzi na Mawasiliano  Elias Kwandikwa kushoto.
PIC%2B3
 Naibu Waziri Wizara ya Ujenzi Uchukuzi na Mawasiliano Elias Kwandikwa akisoma hotuba wakati akifungua kikao cha Baraza la wafanyakazi wa Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) kilichofanyika katika ukumbi wa Karimjee jijini Dar es Salaam.
PIC%2B4
 Naibu Waziri Wizara ya Ujenzi Uchukuzi na Mawasiliano  Elias Kwandikwa (wa tatu kushoto) na Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) Mhandisi Japhet Y. Maselle (wa nne kulia) wakiimba wimbo maalumu wa wafanyakazi wa Mshikamano daima pamoja na viongozi wa Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) wakati wa kikao cha Baraza la wafanyakazi wa wakala huo kilichofanyika katika ukumbi wa Karimjee jijini Dar es Salaam.
PIC%2B5
 Baadhi ya mameneja wa mikoa wa Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) wakisikiliza mada zilizokuwa zikitolewa wakati wa kikao cha Baraza la wafanyakazi wa wakala huo kilichofanyika katika ukumbi wa Karimjee jijini Dar es Salaam ambacho kilihudhuriwa na Naibu Waziri Wizara ya Ujenzi Uchukuzi na Mawasiliano Elias Kwandikwa.
PIC%2B6
Naibu Waziri Wizara ya Ujenzi Uchukuzi na Mawasiliano Elias Kwandikwa akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya viongozi waandamizi wa Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) mara baada ya kumaliza kikao cha Baraza la wafanyakazi wa wakala huo kilichofanyika katika ukumbi wa Karimjee jijini Dar es Salaam.
PICHA ZOTE NA ALFRED MGWENO (TEMESA)

No comments:

Post a Comment