Tuesday, July 31, 2018
Monday, July 23, 2018
SIKU YA TATU ZIARA YA MAKAMU WA RAIS MKOANI SONGWE-TUNDUMA 23/7/201
![]() |
Sehemu ya Umati wa wakazi wa Tunduma waliojitokeza kumsikiliza Makamu wa Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan |
RAIS DKT.JOHN POMBE MAGUFULI APOKEA MAGAWIO TOKA KATIKA TAASISI, MASHIRIKA NA MAKAMPUNI YA UMMA.JULAI 23,2018
RAIS DKT. JOHN POMBE MAGUFULI PAMOJA NA WAZIRI MKUU WA JAMHURI YA KOREA LEE NAK-YEON WASHUHUDIA UTIAJI SAINI MKATABA WA UJENZI WA DARAJA JIPYA LA SELANDER IKULU JIJINI DAR ES SALAAM.JULAI 23,2018.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na mgeni wake Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Korea Lee Nak-yeon mara baada ya kuwasili Ikulu jijini Dar es Salaam. |
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimkabidhi zawadi ya Picha Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Korea Lee Nak-Yeon mara baada ya kuwasili Ikulu jijini Dar es Salaam. |
Wednesday, July 11, 2018
RAIS DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AKUTANA NA KUAGANA NA MABALOZI WATATU WALIOMALIZA MUDA WAO HAPA NCHINI.JULAI 11,2018
Subscribe to:
Posts (Atom)