Thursday, September 20, 2018
Monday, September 17, 2018
NCHI YETU INASONGA MBELE... TUNACHAPA KAZI!
Maana #SisiNiTanzaniaMpyA+ yenye kupata Matokeo ChanyA+ 110% kwenye kila nyanja ya kukuza uchumi imara na madhubuti
MFUGALE Flyover ahadi ya Rais Dkt. Magufuli ya tarehe 17 Oktoba 2015 Ime...
Ikumbukwe kwamba mnamo tarehe 17 Octoba 2015 katika kampeni za uchaguzi mkuu 2015, Dk Magufuli alifanya kampeni katika jimbo la Segerea, aliwaomba wakazi wa Dar es Salaam wampatie kura Oktoba 25 ili aweze kutekeleza miradi hiyo mikubwa itakayoenda sanjari na ujenzi wa barabara za juu zitakazopunguza foleni.
LEO AHADI IMETIMIA BAADA YA KUANZA RASMI KUTUMIKA KWA FLYOVER MPYA YA Eng. Patrick MFUGULE
Thursday, September 13, 2018
Tanzania ilivyoshiriki Maonesho ya Kimataifa ya Biashara nchini Msumbiji
![]() |
Gavana
wa Nampula, Mheshimiwa Victor Borges akiwa na Mheshimiwa Balozi Rajabu
Luhwavi kushoto kwake wakikata utepe wakati wa kufungua Maonyesho ya
Biashara Nampula tarehe 20 Agosti 2018. Maonesho hayo yalihusisha
wafanyabiashara kutoka Tanzania na wenyeji wa Msumbiji.
![]() |
Mheshimiwa
Balozi Rajabu Luhwavi akitoa maelezo mafupi wakati wa ufunguzi wa
Maonyesho ya Biashara Nampula yaliyohusisha wafanyabiashara kutoka
Tanzania. Kwa
upande wake Balozi Luhwavi, alieleza kuwa maonesho haya ni ya kimkakati
kwa ajili ya kukuza na kuimarisha umoja, mshikamano na mahusiano ya
kiuchumi yaliyojengwa na waasisi wetu hayati Mwalimu Julius Nyerere,
aliyekuwa Rais wa kwanza wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania; hayati
Sheikh Abeid Amani Karume, aliyekuwa rais wa kwanza wa Zanzibar na
hayati Samora Moises Machel, aliyekuwa rais wa kwanza wa Jamhuri ya
Msumbiji. Maonesho haya yalifungua fursa za masoko kwa bidhaa za viwanda
vya Tanzania pamoja na kuendeleza juhudi za utekelezaji wa diplomasia
ya uchumi kwa vitendo na kukuza uchumi, hususan uchumi wa viwanda.
|
![]() |
Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, aliyekuwa mgeni rasmi wakati wa kilele cha maonesho ya bidhaa za Tanzania mjini Nampula akiwa pamoja na Balozi Rajabu Luhwavi na Katibu Mkuu wa Jimbo la Nampula, Bi. Veronica Langa wakipata maelezo kuhusu teknolojia ya kisasa ya ufugaji samaki kutoka kampuni ya Dokaman ya nchini Tanzania. |
![]() |
Kutoka kulia ni Balozi wa Tanzania nchini Msumbiji, Mheshimiwa Rajabu Luhwavi, Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Ndugu Juma Ali Juma, Mkurugenzi wa Ukuzaji Biashara TanTrade, Bi. Anna Bulondo wakipata maelezo kutoka kwa wawakilishi wa kampuni ya A- Z Textile Mills inayojishughulisha na utengenezaji nguo, vifaa vya plastiki, mifuko ya kuhifadhia mazao na bidhaa nyingine. |
![]() |
Balozi wa Tanzania nchini Msumbiji, Mheshimiwa Rajabu Luhwavi akiwa pamoja na Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara wa Serikali ya Mapinduzi |
Friday, September 7, 2018
RAIS DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AZINDUA MRADI WA UFUGAJI SAMAKI KWENYE MABWAWA NA VIZIMBA KATIKA KAMBI YA JESHI 27KJ MAKOKO-MUSOMA MKOANI MARA .SEPTEMBA 6,2018
RAIS DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AZUNGUMZA NA WANANCHI WA BUNDA WAKATI AKIWA NJIANI KUELEKEA MUSOMA MKOANI MARA.SEPTEMBA 5,2018
RAIS DKT.JOHN MAGUFULI AWEKA JIWE LA MSINGI MRADI WA BARABARA YA NYAMUSWA-BUNDA-KISORYA-NANSIO KM 121 SEHEMU YA BULAMBA –KISORYA KM 51 PIA AHUTUBIA WANANCHI WA NANSIO UKEREWE MKOANI MWANZA.SEPTEMBA 4,2018
Sehemu ya barabara ya ya Bulamba Kisorya km 51 iliyoanza kujengwa kwa kiwango cha lami.
Subscribe to:
Posts (Atom)