Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano
na Mazingira) Mhe. Mussa Azzan Zungu (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na
watendaji kutoka Ofisi hiyo pamoja na Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi
wa Mazingira (NEMC) mara baada ya kuwasilisha hotuba ya Makadirio ya Mapato na
Matumizi kwa mwaka 2020/2021 leo Bungeni jijini Dodoma. Wa tatu kulia ni Waziri wa Nchi Ofisi ya
Waziri Mkuu (Sera, Uratibu, Bunge, Kazi, Ajira,
Vijana na Wenye Ulemavu) Mhe. Jenista Mhagama
|
No comments:
Post a Comment