Matokeo chanyA+ online




Wednesday, June 3, 2020

IDARA YA UHAMIAJI YAKABIDHIWA NYUMBA 103 ZA MAKAZI KWA MAOFISA NA ASKARI WA IDARA YA HIYO ENEO LA IYUMBU, JIJINI DODOMA


Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa (Wa kwanza kushoto) akisalimiana na Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene (Wa pili kulia) baada ya kuwasili katika eneo la Iyumbu, ilipofanyika hafla ya makabidhiano ya Nyumba 103 za Makazi kwa Maofisa na Askari wa Idara ya Uhamiaji, Jijini Dodoma

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa (Wa kwanza kushoto) akipokea salamu kutoka kwa Kamishna Jenerali wa Idara ya Uhamiaji Nchini, Dkt. Anna Makakala (Wa kwanza kulia) alipokuwa akiwasili eneo la Iyumbu katika hafla ya kukabidhiwa Nyumba 103 za Makazi kwa Maofisa na Askari wa Idara ya Uhamiaji, Jijini Dodoma. 

 Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene (Wa tatu kushoto) akiwasili katika  katika eneo la Iyumbu, ilipofanyika hafla ya makabidhiano ya Nyumba 103 za Makazi kwa Maofisa na Askari wa Idara ya Uhamiaji, Jijini Dodoma

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa (Aliyesimama) akizungumza na Viongozi mbalimbali, Maofisa na Askari wa Idara ya Uhamiaji, eneo la Iyumbu ilipofanyika hafla ya makabidhiano ya Nyumba 103 za Makazi kwa Maofisa na Askari wa Idara ya hiyo, Jijini Dodoma

Waziri Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene (Wa kwanza kulia) akizungumza katika hafla ya makabidhiano ya Nyumba 103 za Makazi kwa Maofisa na Askari wa Idara ya Uhamiaji, iliyofanyika eneo la Iyumbu, Jijini Dodoma. 
Kamishna Jenerali wa Idara ya Uhamiaji Nchini, Dkt. Anna Makakala akizungumza katika hafla ya kukabidhiwa Nyumba 103 za Makazi kwa Maofisa na Askari wa Idara ya Uhamiaji ambapo ametoa salamu za shukurani kwa Rais Dk. John Magufuli na Viongozi wote wa Serikali wa Awamu ya Tano kwa kuwezesha kujengwa Nyumba hizo, Jijini Dodoma


Baadhi ya Maofisa na Askari wa Idara ya Uhamiaji wakifuatilia hafla ya kukabidhiwa Nyumba 103 za Makazi kwa Maofisa na Askari wa Idara ya hiyo, yaliyofanyika eneo la Iyumbu, Jijini Dodoma.

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa (Wa kwanza kushoto) akimkabidhi ufunguo Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene (Wa pili kulia) katika hafla ya kukabidhiwa Nyumba 103 za Makazi kwa Maofisa na Askari wa Idara ya Uhamiaji, eneo la Iyumbu iliyofanyika leo Jijini Dodoma.

Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene (Wa kwanza kulia) akimkabidhi ufunguo Kamishna Jenerali wa Idara ya Uhamiaji Nchini, Dkt. Anna Makakala (Wa kwanza kulia) katika hafla ya kukabidhiwa Nyumba 103 za Makazi kwa Maofisa na Askari wa Idara ya Uhamiaji, iliyofanyika eneo la Iyumbu, Jijini Dodoma.

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa (Wa tatu kulia), Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene (Wa pili kulia), Kamishna Jenerali wa Idara ya Uhamiaji Nchini, Dkt. Anna Makakala (Wa kwanza kulia) pamoja na Viongozi mbalimbali wakikata utepe kuashiria Uzinduzi wa kukabidhiwa Nyumba 103 za Makazi kwa Maofisa na Askari wa Idara ya Uhamiaji, katika eneo la Iyumbu Jijini Dodoma

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa (katikati), Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene (Wa pili kulia), Kamishna Jenerali wa Idara ya Uhamiaji Nchini, Dkt. Anna Makakala (Wa kwanza kulia), Waziri wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi (Wa pili kushoto) pamoja na Wakuu wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama, wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kukabidhiwa Nyumba 103 za Makazi kwa Maofisa na Askari wa Idara ya Uhamiaji, katika eneo la Iyumbu Jijini Dodoma

Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene (katikati), Mkuu wa Majeshi Nchini, Jenerali Venance Mabeyo (Wa kwanza kushoto) pamoja na Kamishna Jenerali wa Idara ya Uhamiaji Nchini, Dkt. Anna Makakala (Wa kwanza kulia) wakiagana baada ya kumalizika hafla ya kukabidhiwa Nyumba 103 za Makazi kwa Maofisa na Askari wa Idara ya Uhamiaji, iliyofanyika eneo la Iyumbu, Jijini Dodoma.

Bendi ya Idara ya Uhamiaji, ikitoa burudani kwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa pamoja na Viongozi mbalimbali (hawapo pichani) waliofika katika hafla ya kukabidhiwa Nyumba 103 za Makazi kwa Maofisa na Askari wa Idara ya Uhamiaji, eneo la Iyumbu, Jijini Dodoma.

Baadhi ya Nyumba 103 za Makazi kwa Maofisa na Askari wa Idara ya Uhamiaji, zilizopo eneo la Iyumbu ambazo Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa, amezindua na kukabidhiwa Nyumba hizo 103 za Makazi kwa Maofisa na Askari wa Idara ya Uhamiaji, Jijini Dodoma leo.

No comments:

Post a Comment