Matokeo chanyA+ online




Tuesday, June 9, 2020

WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AMJULIA HALI FREEMAN MBOWE HOSPITALI YA NTYUKA JIJINI DODOMA



Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimpa pole Kiongozi wa Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe ambaye amelazwa katika hospitali ya Ntyuka jijini Dodoma, kwa matibabu Juni 9, 2020. Mbowe anatibiwa majeraha aliyoyapata baada ya kushambuliwa na watu ambao bado hawajajulikana wakati akiingia nyumbani kwake jijini Dodoma usiku wa kuamkia leo. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

No comments:

Post a Comment