Matokeo chanyA+ online




Monday, August 3, 2020

RC KUNENGE AKABIDHIWA RASMI OFISI LEO

 Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Abubakar Kunenge (kushoto) akipokea sehemu ya vitendea kazi kutoka kwa aliyekuwa Mkuu wa Mkoa huo, Paul Makonda, katika hafla fupi ya mahabidiano ya ofisi yaliyofanyika leo jijini Dar es salaam. 
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Abubakar Kunenge (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari, jijini Dar es salaam leo, baada ya makabidhiano ya ofisi na aliyekuwa Mtangulizi wake, Paul Makonda.

No comments:

Post a Comment