Matokeo chanyA+ online




Monday, September 21, 2020

MGOMBEA MWENZA WA URAIS KUPITIA CCM AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MAKETE MKOANI NJOMBE

 



Mgombea Mwenza wa Kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM ambae pia ni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na kuzungumza na Wanachama wa Chama cha Mapinduzi CCM na Wananchi wa kijiji cha Makoga Jimbo la Wanging'ombe Wilaya ya Makete alipokuwa njiani akielekea Makete Mjijni kwa ajili ya kuendelea na mikutano ya kampeni za Chama cha Mapinduzi CCM leo Septemba 21,2020.



Mgombea Mwenza wa Kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM ambae pia ni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na kuzungumza na Wanachama wa Chama cha Mapinduzi CCM na Wananchi wa kijiji cha Ikonda Tandala Makete alipokuwa njiani akielekea Jimbo la Makete Mjini kwa ajili ya kuendelea na mikutano ya kampeni za Chama cha Mapinduzi CCM leo Septemba 21,2020.

No comments:

Post a Comment