Matokeo chanyA+ online




Friday, February 17, 2023

Waziri Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana amesema ataendelea kushirikiana na watendaji wa Wizara hiyo, watumishi pamoja na wadau ili iendelee kung’ara ndani na nje ya nchi kama ilivyo sasa. Amesema hayo Februari 17, 2023 katika Ofisi za Wizara hiyo Mtumba jijini Dodoma.





 

No comments:

Post a Comment