Matokeo chanyA+ online




Friday, March 8, 2019

RAIS WA ZANZIBAR DK.SHEIN, AZUNGUMZA NA MWENYEKITI WA KAMPUNI YA TOUCHROAD GROUP YA CHINA MR. HE.LIEHUI IKULU ZANZIBAR LEO

IMG_9573
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akimsikiliza Mwenyekiti wa Bodi ya Utalii Tanzania Mhe. Jaji Thomas Mihayo, akimtambulisha Mwenyekiti wa Kampuni ya Touchroad Group ya China, Bwa, He. Liehui, walipofika Ikulu Zanzibar kwa mazungumzo leo,8-3-2019,(Picha na Ikulu)
IMG_9585
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akimsikiliza Mwenyekiti wa Kampuni ya Touchroad Group ya China, kushoto  Bwa, He.Liehui, akiwa na Mwenyekiti wa Bodi ya Utalii Tanzania Mhe. Jaji Thomas Mihayo.wakiwa katika mazungumzo hayo Ikulu Zanzibar,leo 8-3-2019.(Picha na Ikulu)
IMG_9588
IMG_9612
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Mwenyekiti wa Kampuni ya Touchroad Group ya China. Bwa.He.Liehui, aliupofika Ikulu Zanzibar, leo 8-3-2019, kwa ajili ya mazungumzo.kushoto Mwenyekiti wa Bodi ya Utalii Tanzania Mhe. Jaji Thomas Mihayo.(Picha na Ikulu) 
IMG_9664
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akiwa na Mwenyekiti wa Bodi ya Utalii Tanzania Mhe.Jaji Thomas Mihayo, wakitoka  katika ukumbi Ikulu baada ya kumaliza mazungumzo na Mwenyekiti wa Kampuni ya Touchroad Group ya China Bwa, He.Liehui,leo 8-3-2019.

No comments:

Post a Comment