Matokeo chanyA+ online




Thursday, April 9, 2020

MV. BUTIAMA YAFANYIWA ZOEZI LA MAJARIBIO YA MITAMBO YA KUENDESHA MELI

 Meli ya Mv.Butiama imetoka katika Chelezo na kuingia kwenye maji kwa ajili ya kufanyiwa  zoezi la majaribio ya Mitambo mipya ya kuendesha meli ambapo zoezi hilo limefanyika katika eneo la Karakana ya Songoro baada ya eneo la Mwanza kusini kuwa finyu.


No comments:

Post a Comment