Matokeo chanyA+ online




Thursday, March 5, 2020

WAHITIMU VYUO VYA KILIMO WATAKIWA KUANZISHA MASHAMBA YA MFANO, KUELIMISHA WAKULIMA

Naibu Waziri wa Kilimo, Omary Mgumba akizungumza kwenye kongamano la Vijana wakulima mkoani Arusha.

 Naibu Waziri wa Kilimo Mhe. Omari Mgumba akikagua bidhaa za sola power kutoka  kampuni ya Poa Portable Power wakati wa kongamano la vijana lililofanyika Mkoani Arusha kushoto ni muoneshaji bwana Emanuel Godwin wa kampuni hiyo.
 
 Vijana ambao wameshiriki kongamano la Vijana wakulima mkoani Arusha wakimsikiliza Naibu Waziri wa Kilimo, Mhe Omary Mgumba (hayupo pichani).

 

No comments:

Post a Comment