Matokeo chanyA+ online




Thursday, August 31, 2017

RAIS DKT.JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA VIONGOZI MBALIMBALI WA ULINZI NA USALAMA WASTAAFU NA WASASA IKULU JIJINI DAR ES SALAAM 31 AGOSTI 2017

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na viongozi wakuu wa vyombo vya Ulinzi na Usalama wasasa na wastaafu Ikulu jijini Dar es Salaam 31 agosti 2017.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wakuu wa vyombo vya Ulinzi na Usalama wasasa na wastaafu Ikulu jijini Dar es Salaam mara baada ya mazungumzo yao.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika picha ya pamoja na Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro, Omar Mahita(IGP Mstaafu), Said Mwema(IGP Mstaafu) pamoja na Ernest Mangu(IGP Mstaafu) Ikulu jijini Dar es Salaam,31 agosti 2017.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akifurahia jambo na aliyekuwa Mkuu wa Jeshi la Polisi Mstaafu Omar Mahita Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa Mstaafu Cornel Apson pamoja na Mkuu wa Jeshi la Polisi Mstaafu Omar Mahita Ikulu jijini Dar es Salaam,31 agosti 2017.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wasasa na wastaafu wa Magereza Ikulu jijini Dar es Salaam,31 agosti 2017.
Mkuu wa majeshi mstaafu Jenerali Mrisho Sarakikya akibadilishana mawazo na Bw. Omary Mahita(IGP mstaafu) pamoja na Bw. Cornel Apson (DGIS mstaafu) kabla ya mazungumzo na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ikulu jijini Dar es Salaam,31 agosti 2017.

Friday, August 25, 2017

Rais Magufuli afanya ziara ya kushtukiza Feri na Kigamboni Jijini Dar es...

RAIS MHE. DKT. JOHN POMBE MAGUFULI ASALIMIA WANANCHI WA FERRY KIGAMBONI WAKATI AKIELEKEA CHUO CHA KUMBUKUMBU YA MWALIMU NYERERE KWENYE UFUNGUZI WA KAMBI YA MAFUNZO YA VIJANA WA CCM ILIYOANDALIWA NA UMOJA WA VIJANA NA VYUO VIKUU.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akichukua Tiketi zake pamoja na chenchi mara baada ya kulipia huduma ya Kivuko wakati akielekea katika Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere Kigamboni jijini Dar es Salaam.25 Agosti 2017.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana pamoja na kuzungumza na abiria mbalimbali wakati akisubiri kuvuka kwa kutumia usafiri wa Pantoni kuelekea katika Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere Kigamboni jijini Dar es Salaam 25 Agosti 2017.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akimsikiliza Yusuph Ndemango ambaye ni mlemavu wakati alipomkuta ndani ya jengo la abiria lililopo upande wa Magogoni kabla ya kuvuka na Pantoni kuelekea katika Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere Kigamboni jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akiingia katika kivuko cha MV Kigamboni pamoja na abiria wengine wakati akivuka kuelekea upande wa pili wa Kigamboni jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akiwa ndani ya Kivuko cha MV Kigamboni pamoja na abiria wengine wakati akivuka kuelekea upande wa pili wa Kigamboni jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akiwasili ferry upande wa Kigamboni mara baada ya kushuka pamoja na abiria wengine kwenye pantoni la MV Kigamboni.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Mama mmoja mara baada ya kuvuka upande wa Kigamboni jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akinunua chapati mara baada ya kuvuka upande wa Kigamboni wakati wa asubuhi 25 Agosti 2017.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika picha ya pamoja na wanafunzi wa Shule ya Sekondari Minazini Kigamboni jijini Dar es Salaam 25 Agosti 2017.
Mwenyekiti wa CCM Taifa, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akiimba pamoja na wanachama wa CCM waliopo katika kambi ya mafunzo ya vijana iliyoandaliwa na Umoja wa vijana wa vyuo na Vyuo vikuu(CCM) katika Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam 25 agosti 2017.

Mwenyekiti wa CCM Taifa, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na wanachama wa CCM waliopo katika kambi ya mafunzo ya vijana iliyoandaliwa na Umoja wa vijana wa vyuo na Vyuo vikuu(CCM) katika ukumbi wa Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam 25 Agosti 2017.

Thursday, August 10, 2017

JUNE 1,2017 RAIS JOHN MAGUFULI ALIFANYA UZINDUZI WA MFUMO WA KIELEKTRONIKI WA UKUSANYAJI KODI,UTEKELEZAJI WA AGIZO LA KUJIUNGA NA MFUMO HUO LIKOJE BAADA YA MIEZI MIWILI



#Nayaomba Makampuni binafsi kujiunga kwa hiari na mfumo huo wa kielektroniki wa ulipaji kodi -Rais Dkt.Magufuli.

#Wizara zote ni lazima zijiunge na mfumo mpya wa kielektroniki wa ulipaji kodi - Rais Dkt.Magufuli.

#Serikali ya Tanzania ninayoiongoza inataka kufanya kazi na Serikali zilizo makini- Rais Dkt.Magufuli.

#Rais Dkt.Magufuli amezitaka Wizara na Taasisi mbali mbali za Serikali zisiendelee kujenga vituo vya kutunzia taarifa na badala yake taarifa zao ziingizwe katika vituo vilivyopo.

#Rais Dkt. Magufuli amezitaka Kampuni za simu kuwa wa kwanza kuingia katika mfumo mpya wa kielektroniki wa ulipaji kodi. JUNE 1 2017




 NUKUU MUHIMU SIKU YA UZINDUZI WA MFUMO HUO JUNE 1 2017

#Mfumo wa kielektroniki wa ukusanyaji kodi unalenga kupata taarifa sahihi za watoa huduma na walipa kodi-Kamishna Mkuu TRA,Charles Kichere .

#Mfumo  hautasababisha ongezeko lolote la kodi kwa watoa huduma na walipa kodi-Kamishna Mkuu TRA, Charles Kichere.

#Utekelezaji wa mfumo wa kielekroniki wa ukusanyaji kodi utafanyika kielektroniki bila kuhusisha mtu yeyote - Kamishna Mkuu TRA,Charles Kichere.

#Mfumo wa kielektroniki wa ukusanyaji kodi utahakikisha unakusanya mapato ya Serikali kwa mujibu wa sheria-Kamishna Mkuu TRA,Charles Kichere.

#Mfumo wa kielektroniki  wa ukusanyaji kodi umetengenezwa na jopo la wataalam wa kitanzania -Kamishna Mkuu TRA,Charles Kichere.

#Jopo la wataalamu wa kitanzania waliotengeneza mfumo huo wamefanya bila kulipwa chochote -Kamishna Mkuu TRA,Charles Kichere.

#Mfumo mpya wa kielektroniki wa ulipaji kodi utasaidia kupunguza mianya ya kuvujisha mapato yanayopotea kwa njia ya mitandao- Prof.Mpango.

#Mfumo mpya wa kielektroniki wa ukusanyaji kodi utaondoa tatizo la kutoaminiana katika ukokotoaji na ulipaji wa kodi - Prof.Mpango.

#Serikali zilizo makini haziwezi kuendelea bila kukusanya mapato- Rais wa Zanzibar, Dkt. Shein.

#Wananchi tujitahidi kulipa kodi ili tuweze kujenga uchumi wa nchi -Rais wa Zanzibar,Dkt. Shein.

#Nimeridhika na ujenzi wa kituo kipya cha elektroniki cha ulipaji kodi -Rais Dkt.Magufuli.

#Serikali iliamua kujenga kituo kipya cha elektroniki cha ulipaji kodi ili kulinda usalama wa Taifa,Taasisi na Sekta Binafsi-Rais Dkt.Magufuli.

#Mfumo mpya wa ulipaji kodi kwa njia ya kielektroniki utalinda taarifa za mteja hata kama kutatokea uharibifu wowote -Rais Dkt.Magufuli.

#Rais Dkt.Magufuli,Makamu wa Rais,Samia Suluhu Hassan na Rais wa Zanzibar Dkt.Shein walikabidhiwa ipad kwa ajili ya kuangalia mapato na kodi zote zinazokusanywa kupitia mfumo mpya wa kielektroniki wa ukusanyaji kodi.




























                  BADO UITIKIO WA UTEKELEZAJI WA AGIZO LA RAIS NIWA KUSUA SUA.