Matokeo chanyA+ online




Wednesday, September 6, 2017

RIPOTI MAALUM YA BUNGE KUCHUNGUZA BIASHARA YA TANZANITE NA ALMASI INASIKITISHA

Kwamiaka 12 ya uuzaji madini ya Tanzanite Duniani, yamefikia Trilion 8 huku Tanzania kwa mujibu wa ripoti ndani ya TRA Taifa lilipata Bilion 254 ambapo sawa na 5% tu ya mauzo yote Duniani Repoti inabaini 80% ya Mauzo yote ya Tanzanite yameibiwa Nchini.

No comments:

Post a Comment