Matokeo chanyA+ online




Wednesday, November 22, 2017

MBUNGE AWASAIDIA WANAWAKE VYEREHANI 370 NJOMBE



CHAPA KAZI Mhe. NEEMA MGAYA
• Ni mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Njombe Mhe. NEEMA MGAYA

• Msaada huo wa Vyerehani 370 una thamani zaidi ya shilingi Milioni 90

• Lengo ni kina Mama wajikwamue kiuchumi huku akiunga mkono juhudi za Mhe. Rais na Serikali kuhimiza uchumi wa viwanda na kuwataka Watanzania kufanyakazi kwa bidii

ili Nchi yetu... izidi kupata
Matokeo chanyA+
Ku


No comments:

Post a Comment