Matokeo chanyA+ online




Thursday, January 31, 2019

SPIKA NDUGAI AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA MKURUGENZI MKUU SHIRIKA LA NYUMBA LA TAIFA (NHC)

V25A9199
 Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akisalimiana na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) Dkt. Maulid Banyani alipomtembelea tarehe 31 Januari, 2019 ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma. Katikati ni Meneja Masoko na Utafiti Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) Ndg. Itandula Kambalagi.
V25A9220
V25A9273
 Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kulia) akimsikiliza Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) Dkt. Maulid Banyani alipomtembelea tarehe 31 Januari, 2019 ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.
V25A9351
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kulia) akizungumza na ugeni kutoka Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) ulioongozwa na Mkurugenzi Mkuu Dkt. Maulid Banyani (wa pili kulia) walipomtembelea tarehe 31 Januari, 2019 ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.

(PICHA NA OFISI YA BUNGE)

No comments:

Post a Comment