Matokeo chanyA+ online




Saturday, September 28, 2019

NAIBU WAZIRI JULIANA SHONZA NA SUBIRA MGALU WANOGESHA MAONYESHO YA MAVAZI YA JAMAFEST2019

 Naibu Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Juliana Shonza akipita kuonyesha mavazi wakati maonyesho ya Mavazi ya Tamasha la Sanaa na Utamaduni la Jumuiya ya Afrika Mashariki (JAMAFEST 2019) yaliyofanyika jijini Dar es Salaam, Tanzania.
Wanamitindo wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (kulia)  akipita mwanamitindo kuonyesha mavazi. 
Naibu Waziri wa Nishati Mhe Subira Mgalu akipita kuonyesha mavazi wakati maonyesho ya Mavazi ya Tamasha la Sanaa na Utamaduni la Jumuiya ya Afrika Mashariki (JAMAFEST 2019) yaliyofanyika jijini Dar es Salaam, Tanzania.
Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya Tamasha la Sanaa na Utamaduni la Jumuiya ya Afrika Mashariki (JAMAFEST 2019), Bi. Joyce Fissoo akipita kuonyesha mavazi.
Mbunge wa Viti maalumu (CCM), Halima Bulembo akipita kuonyesha mavazi wakati maonyesho ya Mavazi ya Tamasha la Sanaa na Utamaduni la Jumuiya ya Afrika Mashariki (JAMAFEST 2019) yaliyofanyika jijini Dar es Salaam, Tanzania.
Mwanamitindo akipita kuonyesha vazi la ubunifu wakati maonyesho ya Mavazi ya Tamasha la Sanaa na Utamaduni la Jumuiya ya Afrika Mashariki (JAMAFEST 2019) yaliyofanyika  jijini Dar es Salaam, Tanzania. Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Dkt Harrison Mwakyembe afuatilia maonyesho ya mavazi ya Tamasha la Sanaa na Utamaduni la Jumuiya ya Afrika Mashariki (JAMAFEST 2019) yaliyofanyika jijini Dar es Salaam, Tanzania.
 Mbunifu wa mavazi Mustafa Hassanali akizungumza wakati maonyesho ya Mavazi ya Tamasha la Sanaa na Utamaduni la Jumuiya ya Afrika Mashariki (JAMAFEST 2019) yaliyofanyika jijini Dar es Salaam, Tanzania.
 Mshereheshaji Taji Liundi akiunguruma katika maonyesho ya Mavazi ya Tamasha la Sanaa na Utamaduni la Jumuiya ya Afrika Mashariki (JAMAFEST 2019) yaliyofanyika jijini Dar es Salaam, Tanzania.
Wanamitindo wenye mahitaji maalum wakionyesha mavazi katika Tamasha la Sanaa na Utamaduni la Jumuiya ya Afrika Mashariki (JAMAFEST 2019) yaliyofanyika jijini Dar es Salaam, Tanzania.
 Mbunifu wa mavazi Khadija Mwanamboka akipita katika wakati maonyesho ya Mavazi ya Tamasha la Sanaa na Utamaduni la Jumuiya ya Afrika Mashariki (JAMAFEST 2019) yaliyofanyika  jijini Dar es Salaam, Tanzania.
Wanamitindo wa Jumuiya ya Afrika Mashariki wakipita kuonyesha mavazi wakati maonyesho ya Mavazi ya Tamasha la Sanaa na Utamaduni la Jumuiya ya Afrika Mashariki (JAMAFEST 2019) yaliyofanyika jijini Dar es Salaam, Tanzania.
Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Dkt Harrison Mwakyembe akizungumza wakati wa maonyesho ya mavazi ya Tamasha la Sanaa na Utamaduni la Jumuiya ya Afrika Mashariki (JAMAFEST 2019) yaliyofanyika  jijini Dar es Salaam, Tanzania.
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt Harrison Mwakyembe akimvalisha tuzo maalum ya vazi la bendera ya JAMAFEST 2019 kwa Mwanamitindo Whitney  yaliyofanyika jijini Dar es Salaam, Tanzania.
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt Harrison Mwakyembe akipewa zawadi ya kofia na Mbunifu wa Mavazi kutoka nchini Burundi.
Burudani ya ngoma ikiendelea.
Wanamitindo wa Jumuiya ya Afrika Mashariki wakipita kuonyesha mavazi wakati maonyesho ya Mavazi ya Tamasha la Sanaa na Utamaduni la Jumuiya ya Afrika Mashariki (JAMAFEST 2019) yaliyofanyika 27  September ,2019 Uwanja wa Taifa  jijini Dar es Salaam, Tanzania.

No comments:

Post a Comment