Matokeo chanyA+ online




Wednesday, October 30, 2019

WAZIRI MKUU MAJALIWA AREJEA NCHINI

Waziri  Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza  na Naibu Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson Mwansasu kwenye uwanja wa ndege wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam ,Oktoba 29, 2019 wakati  alipowasili nchini akitoka nchini  Azerbaijan ambako alimwakilisha Rais John Pombe Magufuli katika mkutano wa Nchi zisizofungamana na upande wowote ulifanyika jijini Baku. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment