Matokeo chanyA+ online




Saturday, November 30, 2019

WAZIRI MKUU AFUNGUA MSIKITI WA HAQ KIONGA MAGOMENI

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dkt. Hussein Mwinyi, wakati aliwasili kwenye Msikiti wa Haq Kionga, uliyopo Magomeni, jijini Dar es Salaam, ambao ameufungua rasmi, Novemba 29, 2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Abdallah Ulega, wakati aliwasili kwenye Msikiti wa Haq Kionga, uliyopo Magomeni, jijini Dar es Salaam, ambao ameufungua rasmi, Novemba 29, 2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)


Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mwakilishi wa Mufti wa Tanzania na Mjumbe wa Baraza la Ulamaa na Sheikh Hamid Jongo, kwenye ufunguzi wa Msikiti wa Haq Kionga, uliyopo Magomeni, jijini Dar es Salaam, kabla ya kuufungua rasmi, Novemba 29, 2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akiwahutubia Waumini wa Kiislamu, kwenye ufunguzi wa Msikiti wa Haq Kionga, uliyopo Magomeni, jijini Dar es Salaam, Novemba 29, 2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waumini wa Kiislamu, wakimsikiliza Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, wakati  akiwahutubia kwenye ufunguzi wa Msikiti wa Haq Kionga, uliyopo Magomeni, jijini Dar es Salaam, Novemba 29, 2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waumini wa Kiislamu, wakimsikiliza Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, wakati  akiwahutubia kwenye ufunguzi wa Msikiti wa Haq Kionga, uliyopo Magomeni, jijini Dar es Salaam, Novemba 29, 2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akikata utepe kufungua rasmi, Msikiti wa Haq Kionga, uliyopo Magomeni, jijini Dar es Salaam, Novemba 29, 2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)


Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akiweka jiwe la msingi, wakati akifungua rasmi, Msikiti wa Haq Kionga, uliyopo Magomeni, jijini Dar es Salaam, Novemba 29, 2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akiweka jiwe la msingi, wakati akifungua rasmi, Msikiti wa Haq Kionga, uliyopo Magomeni, jijini Dar es Salaam, Novemba 29, 2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akisikiliza mawaidha kwenye swala ya Ijumaa, baada ya kufungua rasmi, Msikiti wa Haq Kionga, uliyopo Magomeni, jijini Dar es Salaam, Novemba 29, 2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment