Matokeo chanyA+ online




Thursday, February 27, 2020

OFISI YA MAKAMU WA RAIS YAPITIA RASIMU YA KANUNI ZA USAJILI WA WATAALAMU ELEKEZI WA MAZINGIRA

Wajumbe kutoka Ofisi ya Makamu wa Rais, Baraza la Taifa la Hifadhi ya Usimamizi wa Mazingira (NEMC) na wataalamu elekezi wakiwa katika kikao cha kufanya mapitio ya Rasimu ya Kanuni za Usajili wa Wataalamu Elekezi wa Mazingira kilichofanyika ukumbi wa NHIF jijini Dodoma.

Mwenyekiti wa kikao ambaye pia ni Mkurugenzi wa Kitengo cha Huduma za Sheria Donald Chidowu akiongoza Kikao cha Wadau cha kufanya mapitio ya Rasimu ya Kanuni za Usajili wa Wataalamu Elekezi wa Mazingira kilichofanyika ukumbi wa NHIF jijini Dodoma.

Sehemu ya Wajumbe kutoka Ofisi ya Makamu wa Rais, Baraza la Taifa la Hifadhi ya Usimamizi wa Mazingira (NEMC) na wataalamu elekezi wakiwa katika kikao cha kufanya mapitio ya Rasimu ya Kanuni za Usajili wa Wataalamu Elekezi wa Mazingira kilichofanyika ukumbi wa NHIF jijini Dodoma.


No comments:

Post a Comment