Matokeo chanyA+ online




Wednesday, October 28, 2020

MAJALIWA APIGA KURA KIJIJINI KWAKE NANDAGALA WILAYANI RUANGWA

 


 




Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akiwa na Mkewe Mary Majaliwa wamepiga kura katika kituo cha kupigia kura kilichopo shule ya msingi Nandagala wilayani Ruangwa mkoani Lindi leo Oktoba 28, 2020








No comments:

Post a Comment