Matokeo chanyA+ online




Saturday, March 27, 2021

RAIS SAMIA AWANGOZA WATANZANIA KATIKA MAZISHI YA HAYATI RAIS MAGUFULI






 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akilihutubia Taifa Mara Baada ya kumalizika Misa Maalum kwa ajili ya aliyekuwa Rais wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Hayati Dkt. John Pombe Magufuli iliyofanyika March 26,2021 katika Uwanja wa Magufuli Wilayani Chato wakati wa Maandalizi ya Mazishi yake yaliyofanyika katika Makaburi ya Familia Kijijini kwake Chato Kilimani Mkoani Geita.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Mama Janeth Magufuli Mjane wa  aliyekuwa Rais wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Hayati Dkt. John Pombe Magufuli wakati wa Mazishi yake yaliyofanyika leo March 26,2021 katika Makaburi ya Familia Kijijini kwake Chato Kilimani Mkoani Geita


 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akitia Udongo kwenye Kaburi wakati wa Mazishi ya aliyekuwa Rais wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Hayati Dkt. John Pombe Magufuli yaliyofanyika leo March 26,2021 katika Makaburi ya Familia Kijijini kwake Chato Kilimani Mkoani Geita.


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiweka Shada la Maua kwenye Kaburi la aliyekuwa Rais wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Hayati Dkt. John Pombe Magufuli wakati wa Mazishi yake yaliyofanyika  March 26,2021 katika Makaburi ya Familia Kijijini kwake Chato Kilimani Mkoani Geita.


 

No comments:

Post a Comment