Matokeo chanyA+ online




Wednesday, May 5, 2021

RAIS WA ZANZIBAR DKT HUSSEIN ALI MWINYI AFUTARISHA WANANCHI MKOA WA KUSINI PEMBA



Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi akiwa katika mwendelezo wa ziara za kufutarisha Zanzibar, tarehe  5 Mei 2021 amefutarisha Mkoa wa Kusini katika viwanja vya Tibirizi akiwa na Mke wake Mama Mariam Mwinyi Pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Kusini Mhe. Mattar Zahro Masoud.

 

Rais Mwinyi alisema “Niwashukuru nyote mliopokea mwaliko wangu na kujumuika na mimi, pia lengo na madhumuni ni kujumuika na wananchi hususan wenye mahitaji maalum” (Picha na Ikulu Zanzibar)













 

No comments:

Post a Comment