Matokeo chanyA+ online




Saturday, May 8, 2021

SPIKA NDUGAI AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA VIONGOZI WA TLS BUNGENI JIJINI DODOMA

Spika wa Bunge Job Ndugai akizungumza na viongozi kutoka Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) walioongozwa na Rais wa Chama hiyo, Dkt. Edward Hosea (kushoto kwake) walipomtembelea  ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.
Spika wa Bunge Job Ndugai (kushoto) akisalimiana na Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Dkt. Edward Hosea alipomtembelea ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.

No comments:

Post a Comment