Matokeo chanyA+ online




Saturday, May 29, 2021

WAZIRI JAFO AONGOZA ZOEZI LA UPANDAJI MITI KUADHIMISHA SIKU YA MAZINGIRA


Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhe. Selemani Jafo (wa tatu kushoto) pamoja na viongozi mbalimbali akiongoza matembezi ya hiyari kuadhimisha Siku ya Mazingira Duniani jijini Dodoma leo Mei 29, 2021 ambapo alimuwakilisha Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhe. Selemani Jafo akizungumza na wananchi katika eneo la Medeli kabla ya kuongoza zoezi la upandaji miti kuadhimisha Siku ya Mazingira Duniani jijini Dodoma leo Mei 29, 2021.


Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhe. Selemani Jafo akipanda mti katika eneo la Medeli kabla ya kuongoza zoezi la upandaji miti kuadhimisha Siku ya Mazingira Duniani jijini Dodoma leo Mei 29, 2021.


  

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Anthony Mtaka wakati wa zoezi la upandaji miti katika eneo la Medeli akizungumza wakati wa zoezi la upandaji miti ikiwa ni sehemu ya kuadhimisha Siku ya Mazingira Duniani jijini Dodoma leo Mei 29, 2021.



Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhe. Selemani Jafo akiwa na Naibu Waziri Mhe. Hamad Chande na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Anthony Mtaka wakati wa zoezi la upandaji miti katika eneo la Medeli ikiwa ni sehemu ya kuadhimisha Siku ya Mazingira Duniani jijini Dodoma leo Mei 29, 2021.

Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Bi. Mary Maganga akitoa neno la utangulizi wakati wa zoezi la upandaji miti katika eneo la Medeli ikiwa ni sehemu ya kuadhimisha Siku ya Mazingira Duniani jijini Dodoma leo Mei 29, 2021.

Mbunge wa Dodoma Mjini Mhe. Anthony Mavunde akizungumza na wananchi katika eneo la Medeli kabla ya kuongoza zoezi la upandaji miti kuadhimisha Siku ya Mazingira Duniani jijini Dodoma leo Mei 29, 2021.


Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Misitu Tanzania (TFS) Prof. Dos Santos Silayo akizungumza katika eneo la Medeli kabla ya kuongoza zoezi la upandaji miti kuadhimisha Siku ya Mazingira Duniani jijini Dodoma leo Mei 29, 2021.

No comments:

Post a Comment