Matokeo chanyA+ online




Thursday, July 22, 2021

RAIS SAMIA AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA TONY BLAIR WAZIRI MKUU MSTAAFU WA UINGEREZA


 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Waziri Mkuu Mstaafu wa Uingereza Mhe. Tony Blair wakati Mhe. Blair alipofika  Ikulu Jijini Dar es salaam leo Julai 22,2021. (Picha na Ikulu) 
 
Waziri Mkuu Mstaafu wa Uingereza Mhe. Tony Blair wakati Mhe. Blair , akizungumza na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan alipofika  Ikulu Jijini Dar es salaam leo Julai 22,2021. 

(Picha na Ikulu)

No comments:

Post a Comment