Matokeo chanyA+ online




Friday, May 6, 2022

ANWANI ZA MAKAZI KUWEZESHA ZOEZI LA SENSA KIDIJITALI



Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mohamed Khamis Abdulla akizungumza na watendaji wa mkoa wa Kaskazini Unguja wakati wa kikao chake na watendaji hao kupokea taarifa ya utekelezaji wa zoezi la Anwani za Makazi katika mkoa huo.

    Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari 
   Mhe. Mohamed Khamis Abdulla akiagana na baadhi ya watendaji wa 
   mkoa wa Kaskazini Unguja baada ya kikao chake na watendaji hao 
    kupokea taarifa ya utekelezaji wa zoezi la Anwani za Makazi katika mkoa huo.



Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mohamed Khamis Abdulla (Kulia mwenye suti) akikagua nguzo ya barabara ya Mwera Pogwe na Mtaa wa Tunguu wa mkoa wa Kusini Unguja wakati wa kukagua na kuhamasisha utekelezaji wa zoezi la Anwani za Makazi katika mkoa huo.





No comments:

Post a Comment