Matokeo chanyA+ online




Wednesday, November 15, 2023

BWAWA LA NYERERE NI ZIWA JIPYA ULIMWENGUNI



Linakuwa Eneo la tisa kwa ukubwa Ulimwenguni, la nne kwa ukubwa barani Afrika, na kubwa zaidi Mashariki mwa Afrika. Kwa urefu wa kilomita 100 (maili 62), upana wa kilomita za mraba 1,200 (maili za mraba 460), Likizuiwa naukuta wa konkriti wenye urefu wa mita 134 [futi 440] likiwa na kiasi cha maji cha mita za ujazo bilioni 34. linakuwa ziwa jipya kuzalishw ulimwenguni  hiki cha kuzalisha umeme, Julius Nyerere Hydropower Station. Bwawa la Mteremko wa Stiegler,..Sisi ni Tanzania..na haya ndio matokeochanya+

 

 

No comments:

Post a Comment