Matokeo chanyA+ online




Thursday, March 28, 2019

NAIBU SPIKA AFUNGUA KIKAO CHA BARAZA LA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR)

 Naibu Spika wa Bunge la Tanzania Dkt. Tulia Ackson akifungua kikao cha Tano cha Kamati ya Demokrasia na Utawala cha Baraza la Wabunge wa Mabunge ya Jumuiya ya nchi za Maziwa makuu (FP-ICGLR) kilichofanyika hii leo Jijini Arusha.
Naibu Spika wa Bunge la Tanzania Dkt. Tulia Ackson akiwa katika picha ya pamoja na Wajumbe wa kikao cha Tano cha Kamati ya Demokrasia na Utawala bora cha Baraza la Wabunge wa Mabunge ya Jumuiya ya nchi za Maziwa makuu (FP-ICGLR) kilichofanyika hii leo Jijini Arusha. (Picha na Ofisi ya Bunge)

No comments:

Post a Comment