Matokeo chanyA+ online




Thursday, March 28, 2019

WAZIRI KABUDI ATOA POLE ZIMBABWE

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof Palamagamba Joh Kabudi akisaini kitabu cha maombolezo katika ubalozi wa Zimbabwe uliopo jijini Dar es Salaam,Tanzania

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof Palamagamba Joh Kabudi akisaini kitabu cha maombolezo katika ubalozi wa Zimbabwe uliopo jijini Dar es Salaam,Tanzania huku kaimu Balozi wa Zimbabwe hapa Nchini Bw. Martin Tvenyika akishuhudia.

Kaimu Balozi wa Tanzania hapa nchini Bw Martin Tvenyika akimuonesha Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof Palamagamba John Kabudi katika ramani maeneo yaliyoathiriwa na mafuriko yaliyotokana na Kimbunga Idai nchini humo.

No comments:

Post a Comment