Spika wa Bunge, Job Ndugai (Mb), akizungumza na Waandishi wa
Habari kuhusu mabadiliko ambayo yatafanyika katika Utaratibu wa
Uendeshaji wa Shughuli za Bunge wakati wa Mkutano wa Bunge wa Bajeti
unaotarajiwa kuanza leo Jijini Dodoma. Spika ametangaza
mabadiliko kadhaa ambayo yatafanyika wakati wa uendeshaji wa shughuli za
Bunge ili kukabiliana na janga la Ugojwa wa Korona. Wakwanza kulia ni
Naibu Spika wa Bunge Dkt. Tulia Ackson.
Spika wa Bunge Job Ndugai (katikati) akizungumza wakati wa Kikao
cha kamati ya Uongozi ambayo ilikutana ili kujadili na kupitisha
shughuli zitakazofanyika wakati Bunge la Bajeti linalotarajiwa kuanza
kesho Jijini Dodoma. kushoto ni Naibu Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson
na Kulia ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi,
Vijana, Ajira na Walemavu Mhe. Jenista Mhagama.
Naibu Spika wa Bunge Dkt. Tulia Ackson akizungumza wakati wa Kikao cha
kamati ya Uongozi ambayo ilikutana ili kujadili na kupitisha shughuli
zitakazofanyika wakati wa Bunge la Bajeti linalotarajiwa kuanza kesho
Jijini Dodoma. Katikati ni Spika wa Bunge Job Ndugai na Kulia ni
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na
Walemavu, Mhe. Jenista Mhagama.
Wajumbe
wa kamati ya Uongozi katika kikao cha Kamati kilichokutana ili kujadili
na kupitisha shughuli zitakazofanyika wakati wa Bunge la Bajeti
linalotarajiwa kuanza kesho Jijini Dodoma.
PICHA NA BUNGE
PICHA NA BUNGE
No comments:
Post a Comment