Matokeo chanyA+ online




Thursday, December 31, 2020

WAZIRI WA UJENZI CHAMURIHO AKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WA MRADI WA KITUO CHA PAMOJA CHA UKAGUZI (OSBP)

 

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Mhandisi, Dkt. Leonard Chamuriho, akimsikiliza Meneja wa Wakala wa Barabara Nchini (TANROADS) Mkoa wa Pwani Mhandisi Wilicis Mwageni, wakati akitoa taarifa ya maendeleo ya mradi wa Kituo cha pamoja cha Ukaguzi (OSBP), alipokagua mradi huo mkoani Pwani.

Muonekano wa hatua iliyofikiwa ya sehemu ya mzani katika mradi wa Kituo cha pamoja cha Ukaguzi (OSBP), Vigwaza Mkoani Pwani

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Mhandisi Dkt. Leonard Chamuriho, akitoa maelekezo kwa Meneja wa Wakala wa Barabara Nchini (TANROADS) Mkoa wa Pwani, Mhandisi Wilicis Mwageni, alipokuwa akikagua maendeleo ya mradi wa Kituo cha pamoja cha Ukaguzi (OSBP), Mkoani Pwani .

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Mhandisi  Dkt.Leonard Chamuriho, akifafanua jambo kwa Wahandisi alipotembelea na kukagua mradi wa Kituo cha pamoja cha Ukaguzi (OSBP), mkoani Pwani,  ambao kwa sasa umefikia asilimia 90.

No comments:

Post a Comment