Matokeo chanyA+ online




Tuesday, May 3, 2022

 Rais Wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan, Mei 3 , 2022 amejumuika pamoja na Wananchi  katika Baraza la Eid El Fitri lililofanyika katika Ukumbi wa   Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere
(JNICC) Mkoa wa Dar es Salaam.


Baraza la Eid Al Fitri  hufanyika kila baada ya  kukamilika kwa Mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani








                                                                  Eddi Mubaarak

No comments:

Post a Comment