Matokeo chanyA+ online




Tuesday, February 21, 2023

Bola Tinubu,mgombea wa urais nchini Nigeria kupitia chama tawala cha APC, alifanya kampeni yake ya mwisho katika ngome yake mjini Lagos hapo jana Jumanne na kuahidi mabadiliko iwapo ataibuka mshindi wakati wa uchaguzi wa Jumamosi.

 








Tinubu, ni miongoni mwa wagombea 18 wanaotaka kumrithi rais Muhammadu Buhari anayeondoka madarakani, lakini anakabiliwa na ushindani mkali kutoka kwa mgombea mkuu wa upinzani Atiku Abubakar kutoka chama cha PDP na Peter Obi kutoka chama cha Leba.

No comments:

Post a Comment