Matokeo chanyA+ online




Friday, February 24, 2023

SEKTA BINAFSI YA TZ KATIKA SHEREHE ZA UFUNGUZI WA JUKWAA LA EUTZBIASHARA LILILOONGOZWA NA MH DKT PHILIP MPANGO, MAKAMU WA RAIS WA TANZANIA.








Mbele ya Mh Dkt Philip Mpango, Makamu wa Rais wa #Tanzania, mikataba mitatu yenye thamani ya Euro milioni 353 ilisainiwa kati ya Taasisi za Tanzania na Umoja wa Ulaya.


 

No comments:

Post a Comment