Matokeo chanyA+ online




Wednesday, April 26, 2023

Rais Samia Suluhu Hassan amekutana na kuzungumza na mtoto Hamimu Mustapha Baranyikwa (15) mkazi wa Nyakanazi Mkoani Kagera, mwenye matatizo ya ngozi

.





Mtoto huyo alifika Ikulu kwa ajili ya kumshukuru Rais Samia kwa msaada wa matibabu aliompatia katika Hospitali ya Taifa Muhimbili Jijini Dar es Salaam. Rais alimuona mtoto huyo kwa mara ya kwanza wakati wa ziara yake Nyakanazi Mkoani Kagera tarehe 16 Oktoba, 2022 na kuagiza apatiwe matibabu baada ya kuhangaika kwa muda mrefu.

No comments:

Post a Comment